Sunday, June 25, 2017

Shirika la afya dunia WHO linashauri unyonyeshaji wa watoto kwa miezi sita  baada ya kuzaliwa bila kumpa vyakula vingine. Baada ya miezi sita mtoto aanze kupewa vyakula vingine kama ziada ya maziwa ya mama, na inashauriwa umuanzishie mtoto matunda na mboga mboga zilizopondwa. Inashauriwa pia unyonyeshaji wa mtoto uwe usiku na mchana kwa kadiri mtoto atakavyohitaji na matumizi ya chupa za kunyonyeshea yaepukwe.

0 comments:

Post a Comment

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR