wengi wanajiuliza mengi kuhu UZAZI SALAMA je unafahamu ni nini? ni vitu gani ungependa kufahamu kuhusiana na UZAZI SALAMA, weka swali lako hapa chini tufahamishane zaidi maswala ya UZAZI SALAMA .
Showing posts with label USHAURI NASAA. Show all posts
Showing posts with label USHAURI NASAA. Show all posts
Tuesday, June 27, 2017
June 27, 2017
Anonymous
USHAURI NASAA
3 comments
wengi wanajiuliza mengi kuhu UZAZI SALAMA je unafahamu ni nini? ni vitu gani ungependa kufahamu kuhusiana na UZAZI SALAMA, weka swali lako hapa chini tufahamishane zaidi maswala ya UZAZI SALAMA .
Sunday, June 25, 2017
June 25, 2017
Unknown
USHAURI NASAA
No comments
Shirika la afya dunia WHO linashauri unyonyeshaji wa watoto kwa miezi
sita baada ya kuzaliwa bila kumpa vyakula vingine. Baada ya miezi sita
mtoto aanze kupewa vyakula vingine kama ziada ya maziwa ya mama, na
inashauriwa umuanzishie mtoto matunda na mboga mboga zilizopondwa.
Inashauriwa pia unyonyeshaji wa mtoto uwe usiku na mchana kwa kadiri
mtoto atakavyohitaji na matumizi ya chupa za kunyonyeshea yaepukwe.
Subscribe to:
Posts (Atom)


Anonymous
