Sunday, June 25, 2017

Unyonyeshaji wa watoto ni njia iliyo thabiti kabisa kuhakikisha mtoto anakua akiwa mwenye afya njema na hupunguza vifo kwa watoto kwa kiasi kikubwa.

Kama mtoto atanyonyeshwa  saa moja baada ya kuzaliwa, na kuendelea kunyonyeshwa kwa miezi sita bila kumpa chakula kingine, hii itampa mtoto kinga thabiti ya mwili dhidi ya magonjwa hatari yanayotishia uhai wao. Magonjwa haya ni kama Nimonia na kuhara ambayo yanaongoza kwa kusababisha vifo kwa watoto.

0 comments:

Post a Comment

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR