Kiukweli nimejitahidi kujibu, sasa naona zinanielemea na wadau mtaona siwajibu labda nimewachunia, ila si hivyo, na ili kuondoa tatizo hili wiki hii nzima ntapost maelezo yoote kuhusu kumuanzisha mtot vyakula zaidi ya maziwa, wadhungu wanaita solid foods, kwetu ni vitu kama uji.
Vitu nnavyoweka nimetoa kwenye websites mbalimbali, na kuvitafsiri na kuboresha, ila ili kuwa realist zaidi chini ya kila posting ntakuwa naweka Xchyler’s Experience, ili niweze kuelezea ninavyofanya mimi mwenyewe kwa mwanagu.
0 comments:
Post a Comment