Tuesday, June 20, 2017


PictureWadau mbalimbali wamekua wakinitumia mails kuniulizia kila kitu kinachohusu kulisha mtoto chakula, kuanzai jinsi ya kumuanzisha, lini aanzishwe hadi apewe nini.

Kiukweli nimejitahidi kujibu, sasa naona zinanielemea na wadau mtaona siwajibu labda nimewachunia, ila si hivyo, na ili kuondoa tatizo hili wiki hii nzima ntapost maelezo yoote kuhusu kumuanzisha mtot vyakula zaidi ya maziwa, wadhungu wanaita solid foods, kwetu ni vitu kama uji.

Vitu nnavyoweka nimetoa kwenye websites mbalimbali, na kuvitafsiri na kuboresha, ila ili kuwa realist zaidi chini ya kila posting ntakuwa naweka Xchyler’s Experience, ili niweze kuelezea ninavyofanya mimi mwenyewe kwa mwanagu.

0 comments:

Post a Comment

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR