Tuesday, June 20, 2017

Picturehiki ni moja ya kitu nilichopenda kupita kiasi, sijui nani alilivumbua hili wazo, lazima alikua mwanamke. Zimejaa kibao kwenye maduka ya watoto, (elfu kumi hadi 15)ila unapochagua size kuwa mwangalifu usijesahau ukachagua size yako ya kawaida wakati maziwa yamekua.

0 comments:

Post a Comment

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR