Thursday, August 3, 2017

fahamu kuhusu fistula

Fistula ni nini
Fistula ni shimo ambalo hutokea kati kati ya kibofu cha mkojo na uke au kati kati ya njia ya haja kubwa na uke wa mwanamke ambaye amejifungua kwa shida. Shimo hutokea pale ambapo kichwa cha mtoto ni kikubwa kuliko njia ya uzazi.

Ina sababishwa na nini?
Inasababishwa na  kusukuma mtoto wakati wa kujifungua kwa mda mrefu bila usaidizi au matibabu yeyote, na ana chanika  katika njia ya uzazi na kusababisha shimo, hivyo husababisha uvujaji wa kinyesi na mkojo bila kujizuia. 
Kuzaa mapema kabla ya umri kumekuwa chanzo kikubwa cha kutokea fistula, hilo linatokana na kutopevuka kwa njia za uzazi pamoja na nyonga.

 Kwenda Kliniki
Wataalamu wa afya wanabaini fistula mara nyingi hutokea kwa wanawake wanaojifunglia majumbani baada ya kukosa matibabu. Ni Sahihi mara kwa mara kwa wajawazito kujifungua katika kituo cha matibabu ambapo unaweza kufuatiliwa na kupata huduma za matibabu kwa wakati ni muhimu

.Nifanye nini ikiwa nina fistula?

Kama unahisi kutokwa na mkojo bila kujizuia, harufu mbaya, maumivu makali sahemu za uzazi unashauliwa kuwahi hospitali au kituo cha afya kilipo karibu ili upate ushauri na matibabu zaidi,

Matibabu

Matibabu ya fistula ni bure katika hospitali zote nchini.

Related Posts:

  • ZINGATIA MUONEKANO KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO.Utamaduni wa Tanzania unapendekeza wanawake kuvaa nguo kubwa, zilizopwaya wakati wa ujauzito. Kama vile hawana haja ya kupendeza wakiwa wajawazito. Bahati nzuri, kuna maduka mengi zenye mavazi mazuri za wakati wa ujauzito. … Read More
  • MADHARA YA UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITOSehemu nyingine duniani, inakadiriwa kuwa karibu asilimia 4-16 ya vifo vinavyotokana na ujauzito husababishwa na upungufu wa damu. Aidha upungufu wa damu wakati wa ujauzito huongeza uwezekano wa madhara kwa mama na mtoto iki… Read More
  • SABABU ZINAZOPELEKEA KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO.HILI ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake kwa kiasi kikubwa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu; * kwanza kabisa ni kuziba kwa mirija ya mayai kama tutakavyoona leo * matatizo katika… Read More
  • FAHAMU KUHUSU FISTULA.fahamu kuhusu fistula Fistula ni nini?  Fistula ni shimo ambalo hutokea kati kati ya kibofu cha mkojo na uke au kati kati ya njia ya haja kubwa na uke wa mwanamke ambaye amejifungua kwa shida. Shimo hutokea pale amb… Read More
  • USILE VYAKULA HIVI IKIWA UNAJIANDAA KUBEBA UJAUZITO.Hivi ni baadi ya vyakula ambavyo mama mjamzito au mwanamke anaejiandaa kubeba ujauzito HARUHUSIWI kuvitumia katika kipindi cha ujauzito. *Nyama mbichi au iliyopikwa lakini haikuiva vizuri, nyama za aina hii husemeka… Read More

1 comment:

  1. Bollywood casino online | Casino Review and Bonus | Jammy
    Bollywood 영주 출장마사지 casino online | Casino Review and Bonus | 순천 출장마사지 Jammy 천안 출장마사지 B.I.B.I.B.I.B. Casino 제주도 출장안마 2021 | Play Now! Exclusive bonuses, 서산 출장마사지 promotions,  Rating: 4.2 · ‎Review by JT Hub

    ReplyDelete

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR