Sunday, July 16, 2017

Historia ya ugumu wa kula, au mtoto hawezi kula kwa sasa.

Historia ya mitukutiko, au mtoto anatukutika kwa sasa.

Mtoto mchanga anaonekana mlegevu au amepoteza fahamu.

Mtoto anasonga tu iwapo amesisimuliwa.

Kupumua kwa haraka.

Kifua kubonyea ndani sana.

Homa.

Hipothemia (ukimguza, unahisi kuwa mtoto ana baridi).

Mtoto amekuwa na rangi ya manjano kabla ya kufikisha umri wa saa 24.

Umanjano unaoonekana kwenye viganja vya mikono na nyayo za miguu.

Macho yamefura au yanatoa mchozo.

Usaha unatoka kitovuni.

Zaidi ya pustuli (madoa) 10 zinaonekana ngozini.

Hizi ni dalili za hatari kwa mtoto yeyote mchanga, mama ukiona dalili hizi muone daktari mapema.

Related Posts:

  • KUNAWA MIKONO NI AFYA.Wakina mama wengi wenye watoto wachanga hawana kawaida ya kunawa mikono Mara kwa Mara watakapo kumuhudumia mtoto. Yakupasa kunawa mikono kila Mara kwa kufuata utaratibu huu; *Kabla ya kunyonyesha *Kabla ya kumvisha au kumvua … Read More
  • HAYA NDIYO MADHARA YA UVIMBE KWENYE MFUKO WA UZAZI.Uvimbe kwenye mfuko wa kizazi na sehemu nyingine mwilini imekuwa ni janga kubwa hususani kwa wanawake.Hasara za uvimbe kwenye mfuko wa kizazi. 1.Seli hasi za kwenye uvimbe zinakua haraka kuliko mtoto kwani huchukua virutubis… Read More
  • MLO KAMILI KWA MJAMZITOLishe wakati wa ujauzito ni muhimu kwa ajili ya afya yako na maendeleo mazuri ya mtoto anayekua tumboni. FUATA MLOLONGO HUU KUWA NA LISHE BORA; 1.Jitahidi upate mlo kamili kila siku kwa kupata vyakula vya wanga, protini, mafu… Read More
  • MADHARA YA UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITOSehemu nyingine duniani, inakadiriwa kuwa karibu asilimia 4-16 ya vifo vinavyotokana na ujauzito husababishwa na upungufu wa damu. Aidha upungufu wa damu wakati wa ujauzito huongeza uwezekano wa madhara kwa mama na mtoto iki… Read More
  • ZIFAHAMU DALILI ZA HATARI KWA MTOTO MCHANGAHistoria ya ugumu wa kula, au mtoto hawezi kula kwa sasa. Historia ya mitukutiko, au mtoto anatukutika kwa sasa. Mtoto mchanga anaonekana mlegevu au amepoteza fahamu. Mtoto anasonga tu iwapo amesisimuliwa. Kupumua kwa haraka… Read More

0 comments:

Post a Comment

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR