Wednesday, July 19, 2017

HILI ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake kwa kiasi kikubwa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu;

* kwanza kabisa ni kuziba kwa mirija ya mayai kama tutakavyoona leo

* matatizo katika mfumo wa homoni ambapo kuna sababu zake tutakuja kuziona katika matoleo yajayo.

* dalili kuu ni kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kutopata hedhi na kupata damu kwa muda mrefu au muda mfupi sana ambazo ni siku moja au mbili.

* Dalili nyingine ambazo siyo nzuri katika mfumo wa homoni ambazo zinaweza kufanya mwanamke asipate mimba ni matiti kutoa maziwa wakati siyo mjamzito na wala hana mtoto anayenyonya.

* Tatizo la tatu ni kwa upande wa mwanaume kutokuwa na mbegu zenye ubora.

Yaani hana nguvu za kutosha au anawahi kumaliza tendo la ndoa Premature Ejaculation.

* Kuziba mirija ya uzazi huzuia mbegu na mayai kukutana na kutungisha mimba. Mirija ya uzazi pia huitwa Oviducts, Uterine Tubes au Salpinges

Wakati ujao tutatazamia aina za uzibaji Wa mirija ya uzazi.

Related Posts:

  • USILE VYAKULA HIVI IKIWA UNAJIANDAA KUBEBA UJAUZITO.Hivi ni baadi ya vyakula ambavyo mama mjamzito au mwanamke anaejiandaa kubeba ujauzito HARUHUSIWI kuvitumia katika kipindi cha ujauzito. *Nyama mbichi au iliyopikwa lakini haikuiva vizuri, nyama za aina hii husemeka… Read More
  • SABABU ZINAZOPELEKEA KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO.HILI ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake kwa kiasi kikubwa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu; * kwanza kabisa ni kuziba kwa mirija ya mayai kama tutakavyoona leo * matatizo katika… Read More
  • MADHARA YA UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITOSehemu nyingine duniani, inakadiriwa kuwa karibu asilimia 4-16 ya vifo vinavyotokana na ujauzito husababishwa na upungufu wa damu. Aidha upungufu wa damu wakati wa ujauzito huongeza uwezekano wa madhara kwa mama na mtoto iki… Read More
  • ZIFAHAMU DALILI ZA HATARI KWA MTOTO MCHANGAHistoria ya ugumu wa kula, au mtoto hawezi kula kwa sasa. Historia ya mitukutiko, au mtoto anatukutika kwa sasa. Mtoto mchanga anaonekana mlegevu au amepoteza fahamu. Mtoto anasonga tu iwapo amesisimuliwa. Kupumua kwa haraka… Read More
  • FAHAMU KUHUSU FISTULA.fahamu kuhusu fistula Fistula ni nini?  Fistula ni shimo ambalo hutokea kati kati ya kibofu cha mkojo na uke au kati kati ya njia ya haja kubwa na uke wa mwanamke ambaye amejifungua kwa shida. Shimo hutokea pale amb… Read More

0 comments:

Post a Comment

Dondoo Zilizosomwa Sana hapa leo..!!

VIDEOS BAR