Katika kipindi hiki cha kulea mimba dhana ya uzazi salama inapaswa kupewa kipaumbele kwa mama na mtoto aliyeko tumboni kupatiwa malezi bora, katika kipindi chote cha miezi tisa ya ukuzaji wa mtoto tumboni.
Kwa miaka mingi sasa suala la uzazi salama nchini limekuwa na changamoto kubwa kutokana na suala hilo nyeti kutopewa umuhimu na heshima stahiki kuanzia ngazi ya kaya hadi serikalini.
0 comments:
Post a Comment